Showing 41 - 60 results of 2,658 for search '"Ya'an"', query time: 0.05s Refine Results
  1. 41

    Kamusi ya shule za msingi : mpya / by Kiango, J. G.

    Published 2011
    View in OPAC
    Book
  2. 42

    Kamusi ya Misemo na Nahau / by Wamitila, K. W.

    Published 2013
    View in OPAC
    Book
  3. 43

    Empandiika ya runyankore-rukiga egufuhaziibwe by Karwemera, Festo

    Published 1995
    View in OPAC
    Book
  4. 44

    KISWAHILI NA MAENDELEO YA KILIMO by AIDAH, MUTENYO

    Published 2020
    “…Kilimo ni asasi maalumu ambayo haiwezi kuepukika katika uhalisia wa maisha ya binadamu.Ni miongoni mwa asasi ambazo zinachangia pakubwa katika maendeleo ya nchi yoyote ile.Mahali ambapo tumefikia ni vigumu kuangalia tu nchi moja ila kuangalia maendeleo ya Afrika Masahriki kwa jumla.Maendeleo huanzia pale ambapo jamii ina uhusiano wa mawasiliano na utamaduni.Afrika Mashariki lugha mwafaka ambayo inawezesha mendeleo ya kilimo ni Kiswahili.Kiswahili kinauwezo wa kuelezea kwa kina maswala mengi na kueleweka juu ya uimarishaji wa kilimo.Ukulima hauwezi kuepukika,iwe ni wa kiwango cha matumizi ya kawaida ya nyumbani ama ukulima kama mfumo wa biashara.Tangu kuanzishwa kwa matumizi ya Kiswahili katika asasi mbali mbali,Kuna mambo mangine maandishi mengine yamebakimkatika lugha ya kigeni na hakuna ufafanuzi wowote katika Kiswahili. …”
    Get full text
    Article
  5. 45
  6. 46

    TARİHÇİ VE COĞRAFYACI OLARAK YA’KûBÎ (Ö. 292/905) by Mehmet Salih Arı

    Published 2008-11-01
    Subjects: “…ya’kûbî…”
    Get full text
    Article
  7. 47
  8. 48

    Mazoezi na Marudio ya Gateway KCSE by Kirubi, J.

    Published 2007
    View in OPAC
    Book
  9. 49

    KCSE Mazoezi na Marudio ya Kiswahili / by King'ei, Kitual G.

    Published 2006
    View in OPAC
    Book
  10. 50
  11. 51
  12. 52
  13. 53

    Dünyada ve Ülkemizde RDA’ya Geçiş by Mustafa Bayter

    Published 2022-03-01
    “…AAKK’den gelen sıkıntıların aşılması için RDA’ya geçilmiştir. Bu çalışmanın amacı kataloglama uygulamalarında Dünyada ve ülkemizde RDA’ya geçişin nasıl olduğunu ortaya koymaktır. …”
    Get full text
    Article
  14. 54

    Ubabedume Katika Riwaya ya Rosa Mistika. by Akankwasa, Chris

    Published 2025
    “…Kuchunguza jinsi ubabedume unaojitokeza katika riwaya ya Rosa Mistika na athari zake. Malengo mahususi: Kubainisha ubabedume unaodhihirika katika riwaya ya Rosa Mistika, Kujadili athari za ubabedume katika riwaya ya Rosa Mistika…”
    Get full text
    Thesis
  15. 55

    Uhakiki Wa Mtindo Wa Lug Ha Ka Tika Riwaya Ya Ndoto Ya Almasi Na Ken Walibora. by Nuwamanya, Levinari

    Published 2024
    “…Matini yoyote ya fasihi huhitaji kusomwa na kueleweka iii ipate kuwa na maana. …”
    Get full text
    Thesis
  16. 56

    Mchango wa Fasihi Andishi ya Kiswahili Katika Kukuza Stadi za Uandishi Lugha ya Kiswahili kwa Wanafunzi wa Shule za Upili Katika Munisipali ya Kabale Wilayani Kabale. by Kyasimire, Loyce

    Published 2025
    “…Mada hii inahusisha mchango wa fasihi ya Kiswahili kwa wanafunzi wa shule za upili. Fasihi andishi ni sehemu muhimu ya utamaduni na elimu, na inachangia pakubwa na uelewa wa wanafunzi.Mbinu za utafiti zilizotumiwa ni mbinu ya maktaba, mbinu ya hojaji, mahojiono, sampuli lengwa, mbinu za ukusanyaji wa data iliyotumika kutafuta data kwa shule za upili mbalimbali, kusoma kazi ya watafiti wengine nakusoma nyaraka mbalimbali katika maktaba ya chuo kikuu cha kabale.Fasi andishi inajumuisha Vitabu, Riwaya, Tamthilia, Hadithi fupi, Novela, Ushairi, na maandiko mengine ambayo yameandikwa kwa lugha ya Kiswahili.Inatoa mifano halisi ya matumizi sahihi ya lugha, muundo wa sentensi, na mbinu mbalimbali za uandishi. kwa wanafunzi wa shule za upili, kusoma fasihi andishi kunaweza kuwasaidia kuelewa vizuri kanuni za uandishi kama vile matumizi ya sarufi sahihi, mtindo wa kuandika, na jinsi ya kuwasilisha Mawazo yao kwa uwazi. …”
    Get full text
    Thesis
  17. 57

    Dhima ya Methali Ktika Ukuzaji wa Nidhamu Baina ya Wanajamii Kijijini Bungandaro, Wila Yani Rubanda Nchini Uganda. by Atwiniramasiko, Ivan

    Published 2023
    “…Utafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhirna ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. …”
    Get full text
    Thesis
  18. 58

    Dhia Ya Methali Ktika Ukuza.Ji Wa Nidhamu Baina Ya W Anajamii Kijijini BungandaroWilayanirubanda Nchini Uganda. by Atwinlramasiko, Ivan

    Published 2024
    “…Utafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza dhima ya methali katika ukuzaji wa nidhamu baina ya wanajamii kijijini Bungandaro, wilayani Rubanda nchini Uganda. …”
    Get full text
    Thesis
  19. 59

    Uchanganuzi Linganishi wa Wahusika wa Kike Katika Riwaya ya Usiku Utakapokwisha na Riwaya ya Nguu Za Jadi. by Ainebyoona, Olivia

    Published 2024
    “…Sampuli ilikuwa riwaya ya Usiku Utakapokwisha ya Mbunda Msokile na riwaya ya Nguu za Jadi ya Clara Momanyi. …”
    Get full text
    Thesis
  20. 60

    Makosa ya Upatanisho wa Kisarufi Katika Ujifunzaji wa Lugha ya Kiswahili Katika Shule za Upili Wilayani Kasese. by Baluku, Joel

    Published 2025
    “…Utafiti huu ulijihusisha na ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili kama lugha ya pili katika mazingira ya lugha ya kwanza ya Kikonzo. …”
    Get full text
    Thesis